Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Felisi wa Toniza
(alifariki katika
mji
huo, leo
La Calle
nchini
Tunisia
, katika
karne ya 3
) alikuwa
Mkristo
wa
Numidia
aliyeuawa kwa ajili ya
imani
yake
[1]
.
Tangu kale anaheshimiwa na
Wakatoliki
,
Waorthodoksi
na wengineo kama
mtakatifu
mfiadini
.
Sikukuu
yake huadhimishwa
tarehe
6 Novemba
[2]
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|