Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Debout Congolais
ni wimbo wa Kitaifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ilkuwa imeandikwa na
Reverend Father simon -Pierre Boka
, iliyoundwa na Joseph Lutumba na kupitishwa mwaka wa uhuru wa nchi katika
1960
. Wimbo huu ulibadilishwa na
La
Zairoise
, pia iliyoandikwa na Boka, mwaka
1971
chini ya mobutu. Tangu
Laurent-Desire Kabila
alipoingia madarakani mwaka
1997
, Debout Congolais imekuwa wimbo wa kitaifa.