Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Daniel Nathans
(
30 Oktoba
1928
?
16 Novemba
1999
) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya
Marekani
. Hasa anajulikana kwa kuchunguza mfumo wa kijenetiki wa
virusi
mbalimbali. Mwaka wa
1978
, pamoja na
Werner Arber
na
Hamilton Smith
alikuwa mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
.
|
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Daniel Nathans
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|