Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dusseldorf
ni
mji mkuu
wa
Rhine Kaskazini-Westfalia
nchini
Ujerumani
. Iko kando ya mto
Rhine
. Idadi ya wakazi wake ni takriban 586,000. Mji ulianzishwa
1135
.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu maeneo ya
Ujerumani
bado ni
mbegu
.
Je unajua kitu kuhusu
Dusseldorf
kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|