Apokrifa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Apokrifa (kutoka neno la Kigiriki ?π?κρυφο?, apokruphos , yaani "iliyofichika") ni jina linalotumika katika Ukristo kuanzia karne ya 5 kutajia vitabu ambavyo madhehebu husika hayavikubali katika Biblia .

Hivyo vitabu vilevile vinaweza kuwa vitakatifu kwa madhehebu kadhaa lakini si kwa mengine.

Lakini kuna vitabu vingine ambavyo vinatazamwa na Wakristo wote kuwa ni apokrifa, kwa mfano " Maisha ya Adamu na Eva ".

Maelezo ya undani zaidi yanapatikana katika makala Deuterokanoni kuhusu vitabu maarufu zaidi vinavyokubaliwa na Kanisa Katoliki na wengineo kama Neno la Mungu , lakini si na Waprotestanti wengi.

Marejeo [ hariri | hariri chanzo ]

Vitabu vyenyewe

Ufafanuzi

  • O. F. Fritzsche and Grimm, Kurzgef. exeget. Handbuch zu den Apok. des A.T . (Leipzig, 1851?1860)
  • Edwin Cone Bissell , Apocrypha of the Old Testament (Edinburgh, 1880)
  • Otto Zockler , Die Apokryphen des Alten Testaments (Munchen, 1891)
  • Henry Wace , The Apocrypha ("Speaker's Commentary") (1888)

Utangulizi

Viungo vya nje [ hariri | hariri chanzo ]