Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Emile Durkheim
(
15 Aprili
1858
?
15 Novemba
1917
) alikuwa
mtaalamu
kutoka
Ufaransa
aliyeweka misingi ya
sosholojia
au
sayansi ya jamii
.
Aliunda
mbinu
za kuchunguza
muundo wa jamii
.
Durkheim alizaliwa na
mwalimu
wa
Kiyahudi
katika jimbo la
Lorraine
.
Alisoma kwenye chuo cha
Ecole Normale Superieure
.
Aliingia katika
utumishi
wa
serikali
na tangu mwaka
1902
alikuwa
profesa
wa ualimu kwenye
chuo kikuu
cha
Sorbonne
,
Paris
.
Kutokana na kazi zake
taasisi
yake ilibadilishwa kuwa taasisi ya kwanza ya sayansi ya jamii duniani.
|
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Emile Durkheim
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|