Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
29 Novemba
ni
siku
ya 333 ya
mwaka
(ya 334 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 32.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Saturnini wa Karthago
,
Saturnini wa Toulouse
,
Filomeno wa Ankara
,
Iluminata wa Todi
,
Yakobo wa Sarug
,
Fransisko Antoni Fasani
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
29 Novemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|