Stephen Vincent Benet
(
22 Julai
1898
?
13 Machi
1943
) alikuwa mshairi na mwandishi wa
riwaya
na
hadithi fupi
kutoka nchi ya
Marekani
. Alipokea
Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi
mara mbili: 1929 na 1944.
|
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Stephen Vincent Benet
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|