Jacobus Henricus van 't Hoff ( 30 Agosti 1852 ? 1 Machi 1911 ) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uholanzi . Hasa alichunguza sifa za ki fizikia ndani ya kemia na kuweka msingi wa taaluma ya kemia ya kifizikia . Mwaka wa 1901 alikuwa mshindi wa kwanza wa Tuzo ya Nobel ya Kemia .