- 590
-
Papa Pelagio II
- 1045
-
Go-Suzaku
, mfalme mkuu wa Japani (1036-1045)
- 1812
- Mtakatifu
Egidi Maria wa Mt. Yosefu
,
mtawa
wa shirika la
Ndugu Wadogo
kutoka
Italia
- 1816
- Mtakatifu
Yohane wa Triora
,
O.F.M.
,
padre
kutoka
Italia
,
mmisionari
na
mfiadini
nchini
Uchina
- 1878
-
Mwenye heri
Papa Pius IX
- 1937
-
Elihu Root
, mwanasiasa
Mmarekani
na mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Amani
mwaka wa
1912
- 2000
-
Big Pun
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 2001
-
King Moody
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 2007
-
Alan MacDiarmid
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2000
- 2013
-
Amedeus Msarikie
,
askofu
Mkatoliki
kutoka
Tanzania
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Masimo wa Nola
,
Parteni wa Lampsako
,
Musa Mwarabu
,
Laurenti wa Manfredonia
,
Juliana wa Firenze
,
Rikardo wa Lucca
,
Luka Kijana
,
Egidi Maria wa Mt. Yosefu
,
Yohane wa Triora
n.k.
WikiMedia Commons
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
7 Februari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|