Tarehe
3 Januari
ni
siku
ya
tatu
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 362 (363 katika miaka mirefu).
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
ya
Jina takatifu la Yesu
, lakini pia za
watakatifu
Papa Antero
,
Teopempto na Teona
,
Gordio wa Kaisarea
,
Danieli wa Padua
,
Teojene wa Pario
,
Fiorenso wa Vienne
,
Genoveva wa Nanterre
,
Lusiano wa Lentini
,
Kuriakose Elias Chavara
n.k.
Viungo vya nje
hariri
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
3 Januari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|