- 23 Januari
-
Salim Ahmed Salim
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 23 Februari
-
Seif Ally Iddi
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 27 Februari
-
Robert Grubbs
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2005
- 6 Machi
-
Flora Purim
, mwimbaji kutoka
Brazil
- 25 Machi
-
Aretha Franklin
, mwanamuziki kutoka
Uingereza
- 27 Machi
-
John Sulston
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2002
- 12 Aprili
-
Jacob Zuma
, mwanasiasa wa
Afrika Kusini
- 23 Aprili
-
Etienne Balibar
, mwanafalsafa wa
Ufaransa
- 24 Aprili
-
Barbra Streisand
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 24 Mei
-
James Fraser Stoddart
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2016
- 28 Mei
-
Stanley Prusiner
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1997
- 13 Juni
-
Josaphat Louis Lebulu
, askofu
Mkatoliki
nchini
Tanzania
- 18 Juni
-
Thabo Mbeki
, Rais wa
Afrika Kusini
- 18 Juni
-
Roger Ebert
, mwandishi wa habari kutoka
Marekani
- 18 Juni
-
Paul McCartney
, mwanamuziki
Mwingereza
- 21 Juni
-
Henry S. Taylor
, mshairi kutoka
Marekani
- 26 Juni
-
Gilberto Gil
, mwanamuziki na Waziri wa Utamaduni wa
Brazil
- 13 Julai
-
Harrison Ford
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 28 Agosti
-
Jose Eduardo dos Santos
, Rais wa
Angola
- 16 Septemba
-
Beverly Aadland
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 29 Septemba
-
Ian McShane
, mwigizaji wa filamu kutoka
Uingereza
- 29 Septemba
-
Jean-Luc Ponty
, mwanamuziki kutoka
Ufaransa
- 20 Oktoba
-
Christiane Nusslein-Volhard
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1995
- 19 Novemba
-
Sharon Olds
, mshairi kutoka
Marekani
- 20 Novemba
-
Joe Biden
, Kaimu Rais wa
Marekani
- 27 Novemba
-
Jimi Hendrix
, mpiga gitaa kutoka
Marekani
- 17 Desemba
-
Muhammadu Buhari
, Rais wa
Nigeria
(1983-1985)
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: