- 22 Februari
-
Jean Bedel Bokassa
, Rais (1966-76) na Kaisari (1976-79) ya
Jamhuri ya Afrika ya Kati
- 1 Machi
-
Richard Wilbur
, mshairi kutoka
Marekani
- 4 Aprili
-
Peter Burton
, mwigizaji wa filamu kutoka
Uingereza
- 5 Mei
-
Arthur Schawlow
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1981
- 9 Mei
-
Mona Van Duyn
, mshairi kutoka
Marekani
- 15 Mei
-
Jack Steinberger
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1988
- 14 Julai
-
Geoffrey Wilkinson
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1973
- 15 Julai
-
Robert Merrifield
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1984
- 19 Julai
-
Rosalyn Yalow
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1977
- 11 Agosti
?
Alex Haley
, mwandishi wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1977
- 3 Novemba
-
Charles Bronson
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: