한국   대만   중국   일본 
Visenti Duong - Wikipedia, kamusi elezo huru

Visenti Duong ( 1821 - 1862 ) alikuwa mkulima ambaye alikataa kukanyaga msalaba ; kwa ajili hiyo hatimaye alichomwa moto chini ya kaisari Tu Duc pamoja na Petro Dung na Petro Tuan [1] .

Ni mmojawapo kati ya Wakristo wafiadini wa Vietnam waliouawa kwa ajili ya imani yao huko Vietnam katika karne ya 17 , 18 na 19 ( 1625 ? 1886 ).

Wanatajwa pia kama Watakatifu Andrea D?ng-L?c na wenzake 116.

Kwa nyakati tofauti, Papa Leo XIII , Papa Pius X na Papa Pius XII waliwatangaza kuwa wenye heri , halafu Papa Yohane Paulo II aliwaunganisha katika kuwafanya watakatifu wafiadini tarehe 19 Juni 1988 .

Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila tarehe 24 Novemba , lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe 6 Juni [2] .

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/56160
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo

hariri
  • Les Missions Etrangeres. Trois siecles et demi d'histoire et d'aventure en Asie Editions Perrin, 2008, ISBN 978-2-262-02571-7
  • "St. Andrew Dung-Lac & Martyrs" , by Father Robert F. McNamara, Saints Alive and All God's Children Copyright 1980-2010 Rev. Robert F. McNamara and St. Thomas the Apostle Church.
  • "Vietnamese Martyr Teaches Quiet Lessons" , By Judy Ball, An AmericanCatholic.org Web Site from the Franciscans and St. Anthony Messenger Press.

Viungo vya nje

hariri
 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu .
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari .