Tarehe
23 Juni
2015, wakati Firmino aliipigania Brazil kwenye Copa America, Hoffenheim na Firmino walikubaliana Firmino kuhamia katika klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza
Liverpool
kwa ada ya £
milioni
29. Firmino Alifunga magoli yake ya kwanza matano dhidi ya
Arsenal
na
Norwich City
mwezi huo wa sita na ndiye mchezaji hatari zaidi kwa kuwezesha magoli mengi ya wenzake.
|
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Roberto Firmino
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|