Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi , askofu msaidizi n.k.
Katika Kanisa Katoliki [1] ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2] akisaidiwa na ma padri na ma shemasi . [3]
{{ cite web }}
|dateformat=